SPIKA NDUGAI AMJULIA HALI MWENYEKITI WA CHADEMA TAIFA
Tuesday, June 09, 2020
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai amefika Hospitalini Dodoma kumjulia hali Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe aliyelazwa hapo baada ya kushambuliwa usiku wa kumkia leo na watu wasiojulikana.
Kama una Taarifa, Habari, Tangazo n.k Wasiliana nasi kupitia shinyapress@gmail.com au +255 788 469 464
TAFUTA HABARI
AFRICA HEALTH AGENDA
DONATE: CRDB BANK ACCOUNT-01J2058535400, PIGA NAMBA-0788 -469464