
Hayo yalisemwa leo Septemba 7, 2021 na Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) Ummy Mwalimu wakati akikabidhi pikipiki kwa makaimu makatibu wasaidizi wa tume hiyo jijini Dodoma.
Amesema kuwa makosa hayo ni sawa na asilimia 2 ya makosa yote yaliyofikishwa katika tume hiyo katika kipindi hicho.
“Kwangu mimi nimeangalia makosa ya walimu katika kipindi cha miaka minne iliyopita asilimia 68 ya makosa ya walimu ni utoro,” alisema.
SOMA ZAIDI HAPA ; CHANZO MWANANCHI