Hata hivyo, Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mtwara, Mark Njera alisema jana kuwa tukio la mauaji lilitokea Januari 5 baada ya Hamis (Mussa) kufuatilia fedha zake zilizochukuliwa na maofisa wa polisi.
Alisema maofisa hao walikwenda kumpekua hapo lodge, zilipatikana Sh2.3 milioni, lakini katika mahojiano alieleza kuwa hizo fedha alikuwa akifanya kazi zake Dar es Salaam na marafiki zake walifanya tukio huko wakapata fedha hizo.
SOMA ZAIDI HAPA CHANZO MWANANCHI.
Kama una Taarifa, Habari, Tangazo n.k Wasiliana nasi kupitia shinyapress@gmail.com au +255 788 469 464