Waziri Jafo, wenzake watatu kikaangoni bungeni wiki hii

Hata hivyo, macho na masikio ya Watanzania, yataelekezwa kwa Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) inayoongozwa na Dk Selemani Jafo, ambaye atalazimika kujibu hoja za wabunge kutokana na mambo kadhaa yaliyojitokeza nchini.
Kwa miaka ya nyuma hoja kubwa katika wizara hiyo zilitawaliwa na masuala ya Muungano, lakini safari hii kuna uwezekano mkubwa kuibuka suala la mazingira, hasa uchafuzi wa Mto Mara.
SOMA ZAIDI HAPA CHANZO MWANANCHI.
Kama una Taarifa, Habari, Tangazo n.k Wasiliana nasi kupitia shinyapress@gmail.com au +255 788 469 464