Mbunge akamatwa tuhuma kubaka

Polisi wa Metropolitan mjini London wameithibitisha kuwa mwanamume mmoja alikuwa kizuizini kwa tuhuma za alizofanya kati ya 2002 na 2009.
Shirika la Utangazaji la BBC limeripoti kuwa Chama cha Conservative kilisema kuwa aliombwa na kinara mkuu kutohudhuria Bunge wakati uchunguzi ukiendelea.
SOMA HAPA ZAIDI CHANZO millardAyo
Kama una Taarifa, Habari, Tangazo n.k Wasiliana nasi kupitia shinyapress@gmail.com au +255 788 469 464