
Amesema katika muda huo, Tanzania imepitia vipindi tofauti, lakini kipindi cha kati ya mwaka 2015 – 2021 kilikuwa cha maumivu makali kwenye demokrasia na athari zake kila Mtanzania alizishuhudia.
Hoja hizo za Mbowe zilijibiwa na mjumbe wa Kamati kuu ya CCM, Stephen Wasira akisema CCM haiwezi kulaumiwa kwa kila jambo kwa sababu mambo mengine yanatokea kwenye vyama bila chama chenyewe kuhusika.
Hoja hizo za Mbowe zilijibiwa na mjumbe wa Kamati kuu ya CCM, Stephen Wasira akisema CCM haiwezi kulaumiwa kwa kila jambo kwa sababu mambo mengine yanatokea kwenye vyama bila chama chenyewe kuhusika.
SOMA ZAIDI HAPA CHANZO MWANANCHI.