DED Igunga afariki ajalini Mbeya

Ajali hiyo imetokea leo Jumatano, Septemba 14, 2022 wakati akiwa anatoka kwenye kikao cha Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) jijini Mbeya.
Akizungumzia ajali hiyo Mwenyekiti wa Halmashauri ya Igunga, Lucas Bugota amethibitisha kutokea kifo hicho.
Bugota amesema kuwa walikuwa wote kwenye safari lakini kwenye magari tofauti.
"Mi ndio naelekea huko kwani wao walikuwa nyuma yetu, yaani ndio hivyo tumepata msiba" amesema.
Akizungumzia ajali hiyo Mwenyekiti wa Halmashauri ya Igunga, Lucas Bugota amethibitisha kutokea kifo hicho.
Bugota amesema kuwa walikuwa wote kwenye safari lakini kwenye magari tofauti.
"Mi ndio naelekea huko kwani wao walikuwa nyuma yetu, yaani ndio hivyo tumepata msiba" amesema.
SOMA HAPA ZAIDI CHANZO MWANANCHI.
Kama una Taarifa, Habari, Tangazo n.k Wasiliana nasi kupitia shinyapress@gmail.com au +255 788 469 464