Sophia Mjema

Kikao hicho kimemteua Sophia Edward Mjema ambaye ni mkuu wa Mkoa wa Shinyanga anakuwa katibu wa siasa na uenezi CCM taifa akichukua nafasi na Hamidu Shaka.
Wajumbe wa Sekretarieti ya CCM Taifa
Daniel Chongolo - Katibu Mkuu
Anamringi Macha - Naibu Katibu Mkuu Bara
Naibu Katibu Mkuu Zanzibar
Said Mohamed Dimwa
Ndugu Sophia Mjema
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa Itikadi na Uenezi
Dkt. Frank Haule
Katibu wa Uchumi na Fedha
Mbarouk Nassor Mbarouk
Mkuu wa Idara ya Kimataifa
Issa Haji Gavu
Idara ya Organaizeisheni