Na Eleuteri Mangi
Utekelezaji wa Mradi wa Uboreshaji Usalama wa Milki za Ardhi (LTIP)katika Halmashauri ya Mji Nzega katika mkoa wa Tabora umetekelezwa kwa asilimia 55 na kutarajiwa kukamilika Juni 30,2024 .
Amebainisha kuwa, katika kata ya Nzega Mjini Mashariki mradi unatekelezwa Mitaa ya Maporomoko, Uwanja wa Ndege, Msoma, Mwaisela, Nyasa pamoja na Kitongo. Aidha, Kata ya Nzega Mjini Magharibi mradi unatekelezwa katika mitaa ya Ipilili, Mbugani, Ushirika na Utemini. ![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgpa0C0tpnND6N-mb9KqwU7TBKZQAwIzkb88EAmGOton5SABN2WEJm9lFNqa49ySEhO5dck7w5rhh5JrIq5WY9ZtxWK3-uP2_4hkcCbm2Anp8bISSlMZfaTU6da_SnS0t8HkHDy2EdAvQwaaXXt2hanFP1OSMYhDh6fdFnqA061hVJBLJ8iSEKDudXnWKRG/s600/2-19.JPG)