Header Ads Widget

ALINIKIMBIA NA KUNIACHIA MTOTO SASA NIPO NA MWINGINE ANANIFANYIA FUJO

Alinikimbia na kuniachia mtoto,sasa nipo na mwingine ananifanyia fujo!

Kwa majina naitwa Bernad Shamte kutokea Taveta, Kenya, ni kijana wa umri miaka 28 nilikua na mwanamke nimezaa nae mtoto mmoja na nilikua nikiishi nae tangu ana mimba mpaka akajifungua mtoto wa kiume ambaye nilimpenda sana.

Kinyume na matarajio yangu, baada ya muda tabia yake iliaanza kubadilika, akawa tena sio mtu wa kuambilika, wakati mwingine anaongea na wanaume mbele yangu, yaani ilikuwa dharau sana, hakuniheshimu kama mume wake.

Hata kipindi ambacho nilipomuonya aliamua kufungusha na kukaondoka na kunitelekezea mtoto akiwa mdogo sana, cha kusikitisha kabisa sikufahamu alipoelekea.

Sikukata tamaa na maisha, basi nikaendelea kupambana mwenyewe tu, mtoto nikaamua kumpeleka nyumbani kwa bibi yake ambaye ni mama yangu mzazi ili amlee ili mimi niendelee kupambana na maisha yangu.

Kweli mtoto aliendelea kukua vizuri na kuwa na afya njema, katika kipindi chote sikuweza kuwa na mawasiliano na yule mwanamke wangu, hata ndugu zake sikuwahi kuwaona.

Baada ya muda sana nikaona kukaa pekee muda mrefu sio vizuri, kwa bahati nzuri ikapata mwanamke mwingine ambaye tulipendana na kuanzisha mahusiano. Haikuchukua muda, kwa bahati nzuri naye akapata ujauzito na tukawa na mipango ya kuja kuishi pamoja kama mke na mume.

Cha ajabu kilichokuja kutokea ni kwamba kabla sijaanza kuishi naye, yaani huyu niliyempa mimba sasa hivi, yule mama mtoto wangu alirudi tena kwangu anataka turudiana tumlee mtoto wetu.

Nikamwambia haiwezekani, ndipo akaanza ugomvi mkubwa hadi kwenda kunishtaki kuwa nimemzalisha na sasa simtaki, alinipeleka Polisi kwa ugomvi kubwa sana, jambo hilo lilileta mgogoro mkubwa sana katika familia yetu kiasi cha kunikosesha amani.

Kaka yangu mkubwa ndiye alikuja kunitoa katika changamoto hiyo baada ya kuniambia niende kwa Kiwanga Doctors akaninyie matambiko ili huyo mwanamke andoke kwenye maisha yangu moja kwa moja.

"Mtu huyu amewasaidia wengi ambao walikuwa na matatizo kama yako, tafadhali nakupa namba yake naomba umpigie mara moja, namba yake ni +254769404965, mueleze kila kitu, yeye ndiye anajua kitu gani cha kufanya," aliniambia kaka yake.

Baada ya kuzungumza na Kiwanga Doctors na kufanyiwa dawa pamoja na matambiko yake, yule mwanamke aliacha kabisa kuniletea fujo, hakuwahi kunitafuta tena. Kama suala la mtoto alikuwa anamtuma mdogo wake ananiambia. Asante sana Kiwanga Doctors, maelezo zaidi yanapatikana www.kiwangadoctors.com.

Post a Comment

0 Comments