Header Ads Widget

MKURUGENZI MANISPAA YA SHINYANGA ALEXIUS KAGUNZE APONGEZWA KUIPAISHA MANISPAA KIMAPATO












Mstahiki Meya wa Manispaa ya Shinyanga, Mheshimiwa Elias Ramadhan Masumbuko akizungumza kwenye mkutano maalumu wa Baraza leo Alhamisi Agosti 29,2024.

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga, Mwalimu Alexius Kagunze akizungumza kwenye mkutano maalumu wa Baraza leo Alhamisi Agosti 29,2024.

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Shinyanga Mjini, Mheshimiwa Anord Makombe, akizungumza kwenye mkutano maalumu wa Baraza leo Alhamisi Agosti 29,2024.











Post a Comment

0 Comments